Global perspective Human stories
…
continue reading
UN News interviews a wide range of people from senior news-making officials at Headquarters in New York, to advocates and beneficiaries from across the world who have a stake in helping the UN go about its often life-saving work in the field.
…
continue reading
Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
…
continue reading
This flagship podcast series from UN News takes its name from the words that correspondents at UN Headquarters in New York hear each night, at the end of the working day. We highlight the in-depth human stories behind the UN’s work and the way that it touches and impacts ordinary lives around the world. During UN High-Level week UN News is releasing a daily podcast mini-series, designed to make sense of what’s going on at our New York HQ. Each episode of Focus on the Future will have a main ...
…
continue reading

1
‘It’s a personal fight’: One woman’s battle to protect care work in Mexico
6:56
6:56
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
6:56When Aideé Zamorano González had her second child, her boss and colleagues all asked when she would leave her job in Mexico’s automotive industry. Presumably, now that she had two boys to care for, she would stop working. Ms. Zamorano González didn’t want to quit, but she did leave her job to found Mamá Godín, a social enterprise which evaluates ca…
…
continue reading
Syria crisis: ‘Bloodshed and violence must stop’, urges UN human rights chief Volker Türk Aid cuts leave millions of vulnerable people without assistance: UN refugee agency Afghanistan returnees face a lack of food, work and discrimination, UN agencies warnBy Daniel
…
continue reading

1
WHO na mamlaka za mitaa waungana kupambana na Kipindupindu Caluquembe nchini Angola
3:12
3:12
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:12Huko Manispaa ya Caluquembe jimboni Hiula, Kusini Magharibi mwa Angola, Shirika la Afya Duniani (WHO), kwa kushirikiana na mamlaka za mitaa, limeongeza juhudi za ushirikishwaji wa jamii na afua za afya ya umma, ili kukabiliana na mlipuko wa kipindupindu unaoendelea nchini humo. Lengo kuu likiwa ni kuongeza uelewa kuhusu kipindupindu kupitia mikutan…
…
continue reading
Jaridani leo naangazia hafla ya Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela katika makao makuu ya Umoja wa mataifa na ujumbe wa washindi wa Tozo ya Mandela. Makala tunakwenda nchini Angola na mashinani nchini Kenya, kulikoni?Umoja wa Mataifa leo katika makao yake makuu jijini New York, Marekani, umeadhimisha Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela kwa heshima …
…
continue reading

1
Viongozi wa Afrika watambue wao ni watumishi wa wananchi - Kennedy Odede
1:29
1:29
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:29Mapema kabla ya kushiriki hafla hii ya utoaji wa tuzo katika siku hii ya kimataifa ya Nelson Mandela hapa New York, Kennedy Odede alizungumza na Zipporah Musau wa Umoja wa Mataifa.By Assumpta Massoi
…
continue reading

1
Madaraka ni kwa ajili ya kuinua watu si kuwakandamizi – Guterres
1:51
1:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:51Umoja wa Mataifa leo katika makao yake makuu jijini New York, Marekani, umeadhimisha Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela kwa heshima ya maisha na urithi wa shujaa wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi, nchini Afrika Kusini, Nelson Rolihlahla Mandela, al maarufu Madiba. Assumpta Massoi amefuatilia na kutuandalia taarifa ifuatayo.…
…
continue reading
DR Congo sees dramatic increase in sexual violence linked to conflict Ukraine: With no end to war in sight, UN launches $277 million winter appeal Peru amnesty for atrocity crimes ‘violates international standards’, claim top rights expertsBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "KIKWANYUKWANYU!.By Dkt. Mwanahija Ali Juma
…
continue reading
Jaridani leo tunakuletea mada kwa kina inayoangazia Afrika Mashariki Fest ya nchini Uganda kwa kushirikiana na serikali ya Tanzania na Uganda inayotumia kampeni yake ya “Twende Zetu Butiama” ili kuyatumimiza malengo hayo.Hii leo shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni, WHO katika eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israeli limeongoza…
…
continue reading

1
Youth seize the day in new food production report
11:34
11:34
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
11:34Collective action can take many forms – cooperatives, for example. But for the millions of youth engaged in agrifood systems, sometimes Instagram or TikTok is more effective. Of the 1.3 billion people aged 15 to 24, 44 per cent rely on agrifood systems for employment. But their unique challenges are not always represented, and their voices are not …
…
continue reading
UNICEF condemns mass killings in Sudan’s North KordofanGaza: Tens of thousands affected by latest Israeli displacement orderBelarus: Top rights experts call for investigations into prison deathsBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading

1
Kujituma na kutokata tamaa ndio siri ya kufanikiwa kwenye mafunzo kwa vitendo UN - Sarah Nshoka
3:27
3:27
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:27Kutoka Dar es Salaam hadi Geneva, na sasa New York. Ni safari ya kujifunza, kujaribu na kufanikiwa. Kwa vijana wengi barani Afrika, Umoja wa Mataifa huonekana kuwa ndoto isiyowezekana. Lakini kijana huyu kutoka Tanzania anathibitisha kuwa kwa nia thabiti na bidii, ndoto hiyo inaweza kuwa kweli. Kupitia programu ya mafunzo kwa vitendo ya Umoja wa Ma…
…
continue reading

1
Uganda yaeleza inavyotekeleza lengo namba 5 la Malengo ya Maendeleo Endelevu - HLPF 2025
2:12
2:12
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:12Jukwaa la Kisiasa la Ngazi ya Juu la Umoja wa Mataifa kuhusu Maendeleo Endelevu, HLPF, la mwaka huu wa 2025 linaendelea hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Wadau mbalimbali zikiwemo nchi zinazohudhuria zinabadilishana uzoefu, changamoto na mafaniko katika kutekeleza Malengo ya Umoja wa Mataifa ya Mendeleo Endelevu, SDGs.…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia wakazi wa Gaza walioko eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israeli; na ujumbe wa Uganda wa hatua zake katika kulitekeleza lengo namba 5 la Usawa wa Kijinsia. Makala tunasalia hapa makao makuu na mashinani tunakwenda Tanzania, kulinkoni?Amri mpya za kuhama zinazotolewa na jeshi la Israeli kwa wakazi wa Gaza waliok…
…
continue reading

1
Wanaosaka huduma za kusafisha damu katika ukanda wa Gaza matatani
1:56
1:56
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:56Amri mpya za kuhama zinazotolewa na jeshi la Israeli kwa wakazi wa Gaza walioko eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israeli zinazidi kuhatarisha maisha ya makumi ya maelfu ya watu ambao wameshahama mara kadhaa, wakiwemo wagonjwa wanaotakiwa kupata huduma za kusafisha damu mwilini kila wiki. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.…
…
continue reading
Gaza: 875 people confirmed dead trying to source food in recent weeksNo let-up in occupied West Bank killings linked to settlers and Israeli militaryUkraine: Civilians under fire in record numbers as attacks surgeBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kumulika juhudi za kinamama wajawazito na wanao kuambatana wakihudhuria kliniki kwa ajili ya mimbasalama. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani.Takribani wapalestina 900 wameuawa katika wiki za hivi karibuni huko Ukanda wa Gaza, eneo linalokaliwa kimabavu na Israeli…
…
continue reading
UNICEF mourns the killing of seven children killed queuing up for aid in Gaza Syria: Senior UN envoy speaks out against rising intercommunal violence UN human rights chief underscores the importance of advancing the rights of Indigenous Peoples at high-level forumBy Anna O'Donnell, UN News
…
continue reading

1
Reforming the global health system, one bowl of spaghetti at a time
11:16
11:16
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
11:16The current global health system, which has achieved “tremendous” gains over the past decades, is a bit like a bowl of spaghetti, according to Mandeep Dhaliwal, the Director of Health at the UN Development Programme (UNDP). The intertwining noodles of pasta have – in some ways – produced a siloed health system, if you run with the metaphor: separat…
…
continue reading

1
Uwezeshwaji wa vijana mkoani Mwanza Tanzania
3:18
3:18
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:18Katika makala tunakupeleka mkoani Mwanza, kaskazini-magharibi mwa Tanzania ambako kuelekea siku ya kimataifa ya vijana na stadi hapo kesho Julai 15, Sabrina Said anazungumza na mmoja wa vijana anayetumia majukwaa ya kidijitali kutoa elimu ya uelimishaji rika.By Sabrina Said
…
continue reading

1
HLPF 2025: Jukwaa la UN kuangazia afya, usawa wa kijinsia na bahari katika juhudi za kufanikisha SDGs
1:57
1:57
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:57Jukwaa la Kisiasa la Ngazi ya Juu la Maendeleo Endelevu, HLPF la mwaka huu wa 2025 limeanza leo hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani ambapo wadau kutoka katika nyanja mbalimbali duniani wanakutana kujadili namna ya kuharakisha utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs. Anold Kayanda na maelezo zaidi.…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia masuala ya malengo ya maendeleo endelevu, na mradi wa uvuvi unaosaidia kupunguza migogoro Ituri DRC. Makala tunakupeleka nchini Tanzania na mashinani nchini Kenya, kulikoni?Jukwaa la Kisiasa la Ngazi ya Juu la Maendeleo Endelevu, HLPF la mwaka huu wa 2025 limeanza leo hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini N…
…
continue reading

1
Ituri - Aweka silaha pembeni na kubeba nyavu za samaki
1:41
1:41
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:41Kutoka msituni kupigana upande wa waasi hadi kuingia ziwani na kuwa mtaalamu wa ufugaji wa samaki, ndio simulizi tunayopata kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, simulizi ya matumaini kwa mustakabali wa jamii iliyogubikwa na vita kila uchao. Mwenyeji wako ni Sharon Jebichii.By Sharon Jebichii
…
continue reading
Gaza: Deadly choice for civilians between getting shot, or getting fedGang violence escalates across HaitiRenewed fighting leads to surge in Rohingya refugees fleeing MyanmarBy Matt Wells, UN News
…
continue reading

1
Teknolojia na ushirikiano vinavyotatua changamoto za tabianchi - wakulima wa maeneo kame Kenya
3:57
3:57
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:57Katika maeneo kame ya Kenya, mvua moja ikikosa kunyesha, inaweza kuleta njaa, umaskini na kukosa matumaini. Lakini badala ya kukata tamaa, jamii za wakulima katika kaunti za Tana River sasa zinatoa simulizi kwa ujasiri na mabadiliko. Kupitia msaada kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Kitaifa ya Kusi…
…
continue reading

1
Wanawake wapatanishi warejesha maelewano baina ya jamii Ituri nchini DRC
1:51
1:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:51Huko Djugu, jimboni Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, wanawake wapatanishi waliopatiwa mafunzo na ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO, wamewezesha kurejea kwa mazungumzo baina ya jamii za Ezekere na Mandro ambazo kwa miaka kadhaa zilikuwa zinazozana. Sabrina Saidi na maelezo zaidi.…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia masuala ya afya nchini Burundi, na elimu ya upatanishi kwa jamii Ituri nchini DRC. Makala tunakupeleka nchini Kenya kumulika kilimo kichopatia riziki jamii na mashinani tunasalia hapa makao makuu kusikia ujumbe kuhusu haki za wasichana.Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) leo Julai 11 limetangaza kwamba lim…
…
continue reading

1
Trakoma au Vikope si tatizo tena la kiafya la umma nchini Burundi
1:54
1:54
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:54Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) leo Julai 11 limetangaza kwamba limeidhinisha Burundi kuwa imefanikiwa kuondoa ugonjwa wa macho unaofahamika kama trakoma au vikope kama tatizo la kiafya la umma, na kuifanya kuwa nchi ya nane katika Kanda ya Afrika ya WHO kufikia mafanikio haya muhimu. Anold Kayanda anafafanua zaidi kuhusu taarifa …
…
continue reading
Funding cuts to HIV services put millions of lives at riskUkraine recovery ‘more than just returning home’: IOM chiefUkraine civilian casualties at a three-year high: UN rights expertsBy Dianne Penn, UN News
…
continue reading
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya maneno "CHARAKAMU na BARAKALABy Joramu Nkumbi
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kushuhudia mafunzo ya ukufunzi kwa wanadhimu wa Umoja wa Mataifa. Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwemo za mkataba wa amani DRC na Rwanda, UKIMWI, na maadhimisho ya Siku ya kimataifa ya Kiswahili, na uchambuzi wa neno.Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wam…
…
continue reading
Lifesaving medical supplies reach Gaza, but much more neededAnaemia risks for women and girls grow in South AsiaUN continues response to deadly floods in DR CongoBy Anna O’Donnell, UN News
…
continue reading

1
Mradi wa UNFPA wa michezo na elimu warejesha matumaini kwa vijana wakimbizi wa DRC nchini Burundi
3:11
3:11
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:11Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA), kwa kushirikiana na serikali ya Burundi, limekuwa mstari wa mbele katika kuwasaidia vijana wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), walioko kwenye kambi ya Musenyi, mkoani Rutana huko Burundi. Kupitia michezo, tamaduni, na shughuli za elimu ya afya ya uzazi, vijana hawa wamepata …
…
continue reading

1
Angalau kila mtu awe na anwani ya barua pepe - Mshiriki WSIS
2:01
2:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:01Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Viongozi kuhusu Upashanaji wa Taarifa duniani, (WSIS) ukiingia siku ya 3 hii leo huko Geneva, Uswisi, washiriki wanapazia sauti umuhimu wa kila mtu kokote pale aliko afikiwe na teknolojia inayomwezesha kupokea taarifa kwa urahisi, usahihi na kwa haraka.By Assumpta Massoi
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia ziara ya Katibu Mkuu wa UN Amina J. Mohammed akiwa barani Afrika; na Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Viongozi kuhusu Upashanaji wa Taarifa duniani. Makala tunakwenda nchini Burundi na mashinanitunasalia hapa makao makuu, kulikoni?Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina J. Mohammed akiwa ziarani barani Afrika ambapo j…
…
continue reading

1
Ziara ya Naibu Katibu Mkuu UN yaangazia usongeshaji SDGs Gambia
2:04
2:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:04Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina J. Mohammed akiwa ziarani barani Afrika ambapo juzi tarehe 7 aliingia nchini Gambia, kwa njia ya mtandao wa X ameonesha namna ziara yake ilivyokuwa ya mafanikio kwa kukutana na viongozi na wadau mbalimbali nchini humo katika harakati za kufanikisha Malengo ya Umoja wa Mataifa ya Maendeleo Endelevu. Anold …
…
continue reading
Thirty years on, the UN urges the world to remember the victims of the Srebrenica genocide and amplify the voices of survivors At least 10 people killed as violent protests erupt in Nairobi and across Kenya World leaders push for the safe and human rights-conscious use of artificial intelligence at the AI for Good Global Summit in Geneva…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoturejesha katika mkutano wa 69 wa kamisheni ya hali ya wanawake duniani CSW69 kumsikia Mkurugenzi wa TEN/MET Nasra Kibukila kuhusu jitihada zao za kuhakikisha watoto wote wa Kitanzania wanapata elimu bora, jumuishi na yenye usawa, kwa kushirikiana na Serikali na wadau mbalimbali wa elimu ndani na nje …
…
continue reading
One in three people going without food for days in Gaza, warns WFPUN airdrops food supplies in South Sudan’s remote areasTop official calls for inclusive and rights-friendly digital technologiesBy Emma Trager-Lewis, UN News
…
continue reading

1
Mafuriko Texas - Umoja wa Mataifa waonesha mshikamano
1:37
1:37
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:37Umoja wa Mataifa umeonesha mshikamano mkubwa na watu wa Jimbo la Texas, Marekani serikali kufuatia mafuriko makubwa yaliyotokea Ijumaa na kusababisha vifo hasa vya watoto na uharibifu mwingine mkubwa. Anold Kayanda na maelezo zaidi.By Anold Kayanda
…
continue reading